forked from WA-Catalog/sw_tn
385 B
385 B
Sisi
Neno sisi linawahusisha wote Yesu na wanafunzi wake aliokuwa akiongea nao.
Mchana...Usiku
Yesu analinganisha wakati watu wanaweza kufanya kazi wakait wa mchana, wakati ambao kwa kawaida watu hutenda kazi, na wakati wa usiku watu hawawezi kufanya kazi ya Mungu.
Nuru ya Ulimwengu
Yule ambaye aonyeshaye kile kilicho cha kweli kama vile nuru ionyeshacho kilicho halisi.