forked from WA-Catalog/sw_tn
378 B
378 B
Wakati walipoendelea
Neno "walipo" linarejea kwa waandishi na Mafarisayo.
Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu
"Kama yeyote kati yenu hana dhambi" au Ikiwa mmoja kati yenu hajatenda dhambi kamwe"
Miongoni mwenu
Yesu alikuwa anaongea na waandishi na Mafarisayo, na pengine makutano ya watu pia.
Mwacheni
Mwacheni mtu huyo
Aliinama chini
Aliinama kufikia chini