forked from WA-Catalog/sw_tn
515 B
515 B
kiunganishi cha maneno:
Yesu anaendela kuongea na mkutano na sasa anaongea na viongozi wa Wayahudi.
kuvuta
hii inaweza kufasiriwa 1) "kuvuta" 2)"kuvutia"
imeandikwa katika manabii
"Manabii waliandika"
Kila aliyekwisha sikia na kujifunza kwa Baba huja kwangu
Wayahudi walifikiri Yesu alikuwa mwana wa Yusufu" lakini ni Mwana wa Mungu kwa sababu Baba yake ni Mungu Baba , sio Yusufu. Wale wote ambao kweli wanajifunza kwa Mungu Baba wanaamini katika Yesu, Mungu Mwana.
Baba
Cheo muhimu kwa Mungu.