ninyi hamwezi kuamini hadi mwone ishara na maajabu
Msipo...hamwe kuamini" ni mashaka hasi. Katika lugha nyingine hili linatafsiriwa katika mtazamo chanya. "Mtaamini tu pale mtakapoona miujiza."
kuliamini neno
Hapa "neno" lina maanisha ujumbe ambao Yesu alioutoa. "amini ujumbe."