Kiunganishi cha Maneno:
Yesu anamjibu Nikodemo
mtawezaje kuamini kama nitawaeleza mambo ya mbinguni?
katika sehemu "wewe" ni umoja.
mtawezaje kuamini kama nikiwambiamambo ya mbinguni
"Hautaamini kama nikiwambia mambo ya mbinguni."
mbinguni
hii inamaanisha mahali ambapo Mungu anaishi.