forked from WA-Catalog/sw_tn
319 B
319 B
amezaliwa kwa maji na kwa roho
kuna maana mbili: 1)"kubatizwa ndani ya maji na katika Roho" au 2)"kuzaliwa kimwili na kiroho"
Amini, amini
unaweza kufasiri mane haya kama yalivyotumika katika tafsiri za hapo mwanzo.
ufalme wa Mungu
Neno "ufalme" ni fumbo kwa ajili ya utawala wa Mungu katika maisha ya mtu.