forked from WA-Catalog/sw_tn
380 B
380 B
Kila paa la gorofa
"kila paa"
uwanda
Ni sehemu ya wazi, kama vile sokoni.
kwa kuwa nimeiharibu
Bwana anazungumziwa mahali hapa.
Analosema Bwa
"Alilosema Bwana"
kuvunjwa
"kuharibiwa"
piga kelele
Sauti ya kilio ambayo huifanya mtu anapokuwa na maumivu.
Hivyo Moabu itakuwa kitu cha kudharauliwa
"Moabu itakuwa taifa ambalo mataifa ya jirani yatalicheka"