forked from WA-Catalog/sw_tn
444 B
444 B
Anachokisema Bwana
"alichokisema Bwana"
ukaidi
Ni kitendo cha kukataa kumtii mtu au maelekezo kwa sababu ya kiburi
Nitamlilia Moabu, na nitapiga kelele za huzuni kwa ajili ya Moabu wote
Yeremia anasema kitu kile kile kwa ajili ya kusisitiza.
Piga kelele
Kilio na huzuni ambacho mtu hufanya anapokuwa na uchungu.
Kir-heresi
Hili ni jina la mji wa zamani wa Moabu.
Jazeri ... Sibma
Haya ni majina ya miji miwili ya Moabu.