forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
420 B
Markdown
17 lines
420 B
Markdown
# Haya ni maneno yaliyokuja kwa Yeremia toka kwa Bwana
|
|
|
|
"haya ndiyo aliyoyasema Bwana kwa Yeremia"
|
|
|
|
# Nebuzaradani, kiongozi wa askari wa mfalme
|
|
|
|
Nebuzaradani aliyekuwa kiongozi wa askari wa mfalme.
|
|
|
|
# Hapo ndiko alikopelekwa Yeremia na alipokuwa amefungwa minyororo
|
|
|
|
"Hapo ndipo askari wa Babeli walipompeleka Yeremia na kumfunga minyororo"
|
|
|
|
# waliotakiwa kupelekwa uhamishoni Babeli
|
|
|
|
"ambao askari waliwatuma Babeli"
|
|
|