forked from WA-Catalog/sw_tn
391 B
391 B
Neno la Bwana lilikuja
Bwana alizungumza neno lake
mtasema
Maneno haya yanazungumzwa na watu wawili ambao mfalme Sedekia aliwatuma kwa Yeremia.
Kuomba ushauri kwangu
Neno "kwangu" linamuelezea Bwana.
Tazama
Neno hili linaongeza msisitizo wa ktu kinachofuata.
Watapigana dhidi ya mji huu, wataukamata na kuuchoma moto.
"kupanga vita dhidi yao, kuuchukua na kuuchoma moto"