forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
712 B
Markdown
29 lines
712 B
Markdown
# Taarifa za jumla:
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kusema na watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Ona.
|
|
|
|
"Sikiliza kwa makini."
|
|
|
|
# Niko karibu kuwarudisha mateka wa Hema za Yakobo na kuwa na huruma juu ya nyumba zake.
|
|
|
|
"Niko karibu kuwafanya uzao wa Yakobo kufanikiwa na nitakuwa na huruma juu yao."
|
|
|
|
# Kisha mji utajengwa juu ya lundo la magofu.
|
|
|
|
"Kisha wataujenga Yerusalemu juu ya magofu yake"
|
|
|
|
# Kisha wimbo wa kusifu na sauti ya shangwe itasikika kutoka kwao.
|
|
|
|
"Kisha wataimba wimbo wa kusifu na furaha."
|
|
|
|
# Kwa maana nitawaongeza na wala sitawapunguza.
|
|
|
|
Virai hivi vyote vinamaana kwamba Mungu ataisababisha idadi ya watu wa Israeli kuongezeka.
|
|
|
|
# Ili kwamba wasifanywe wanyonge.
|
|
|
|
"Ili kwamba asiwepo mtu wa asiwepo mtu wa kuwashusha."
|
|
|