forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
368 B
Markdown
17 lines
368 B
Markdown
# Maelezo ya jumla:
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kusema kitakachowapa waisraeli ambao ni mateka huko Babeli.
|
|
|
|
# Mtaniita ... kunioma.
|
|
|
|
Maneno haya mawili yana maana moja na yanatoa msisitizo kwamba Yahwe atawajibu maombi yao.
|
|
|
|
# Nitawasikiliza.
|
|
|
|
Hii ina maana kwamba Yahwe atawapa wanachokihitaji.
|
|
|
|
# Nitwarudisha watu wenu waliofungwa.
|
|
|
|
"Nitayafanya mambo yenu yaende vizuri."
|
|
|