forked from WA-Catalog/sw_tn
575 B
575 B
mashaka katika njia zao
Hapa neno "yao" linamaanisha "watu wangu."
itakuwa ya hofu
"itakuwa kitu ambacho kinatisha watu"
kupiga kelele
Hii ni sauti inayoonyesha kukataa kwa nguvu.
atakayepita karibu naye
Hapa neno "yake" linamaanisha "Nchi yao."
Nitawaangamiza mbele ya adui zao kama upepo wa mashariki.
Bwana anajilinganisha na upepo kutoka mashariki ambayo hugawa majivu na uchafu.
Nitawaangamiza
Hapa neno "yao" linamaanisha "watu wangu."
Nitawageuzia kisogo, wala sio uso wangu
Hatua hii inaashiria kwamba Mungu atakataa kuwasaidia watu wake.