forked from WA-Catalog/sw_tn
519 B
519 B
Mtu anayemtegemea mwanadamu amelaaniwa
Mimi nitamlaani mtu yeyote anayeamini kwa wanadamu
amfanyaye mwanadamu kuwa nguvu
Hapa neno "mwili" linamaanisha watu. AT "anamtegemea wanadamu tu kwa nguvu"
kugeuza moyo wake mbali na Bwana
Hapa neno "moyo" linamaanisha mawazo na hisia. AT "anageuza kujitoa kwake mbali na Bwana"
kama kichaka kidogo
Mtu anayemtegemea mwanadamu badala ya Bwana atakuwa kama mmea unaojitahidi kuishi katika ardhi isiyo na rutuba.
nchi isiyozaa
atakuwa bure kama msitu jangwani