forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
647 B
Markdown
29 lines
647 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Haya ni maneno ya BWANA
|
|
|
|
# Usimwache mtu mwenye busara ajivuna kwa ajili ya hekima yake
|
|
|
|
"Mtu mwenye busara asijivune kwa sababu yeye ni mwenye hekima"
|
|
|
|
# Usimwache mtu tajiri ajivunie utajiri wake
|
|
|
|
"Mtu tajiri asijivune kwa sababu ni tajiri"
|
|
|
|
# acha iwe hivi, yeye awe na busara na kunijua mimi
|
|
|
|
"kwamba anajua kuwa mimi ni nani na kuishi katika njia ambazo zinanipendeza mimi"
|
|
|
|
# Kwa kuwa momi ni BWANA
|
|
|
|
"Kwa sababu watu wanapaswa kujua kuwa mimi ni BWANA"
|
|
|
|
# Ni katika hili kwamba ninafurahia
|
|
|
|
"Na inanifurahisha mimi watu wanapoishi kwa uaminifu katika agano, kwa haki na katika hukumu za haki
|
|
|
|
# asema BWANA
|
|
|
|
Tazama1:7
|
|
|