forked from WA-Catalog/sw_tn
394 B
394 B
Kwa hiyo uwaambie
BWANA anaongeana Yeremia
uwaambie
"kwa watu wa Yuda"
Je, kuna mtu anayeanguka na hasimami?
"Mnajua kuwa mtu anapoanguka, husimama."
Je, kuna mtu anayepote na hajaribu kurudi?
"mtuu anapopotea, hujaribu kurudi kwenye njia sahihi
Kwa nini hawa watu, Yerusalemu, wamegeukia uasi daima?
"Haiingii akilini kwamba hawa watu wa Yerusalemu wamegeukia uasi daima."