forked from WA-Catalog/sw_tn
414 B
414 B
Neno la BWANA lilinijia
Tazama 1:1
nijia
kwa Yeremia
Nenda ukanene katiaka masikio ya Yerusalemu
"Nenda ukawaambie watu wa Yerusalemu"
ujana wako
"kwa ajili ya faida yako" au "kwa utashi wako"
tumechumbiana
"tulipokubaliana kwa mara ya kwanza kuwa tutaoana"
katka nchi ambayo ilikuwa haijapandwa
"nchi ambayo hakuna aliyepanda" au "nchi ambayo chakula hakistawi"
BWANA asema
Tazama 1:7