forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
383 B
Markdown
13 lines
383 B
Markdown
# Tupeni neema
|
|
|
|
"tuonesheni upole sisi pamoja na watu wa Benyamini"
|
|
|
|
# kwa sababu hatukupata wake kwa kila mtu wakati wa vita
|
|
|
|
"kwa sababu hatukupata wake kwa kila mtu wakati wa vita na Yabeshi Gileadi"
|
|
|
|
# ninyi hamna hatia ... hamkuwapa wao binti zenu
|
|
|
|
Hapa wanaambiwa watu wa Shilo. Hawakuwatoa binti zao kwa watu wa Benyamini na hivyo hawakuvunja ahadi yao ya kutokufanya hivyo.
|
|
|