forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
716 B
Markdown
33 lines
716 B
Markdown
# miungu niliyoifanya
|
|
|
|
Mika hakuitengeneza miungu lakini fundi aliitengeneza.
|
|
|
|
# Je, nina nini tena?
|
|
|
|
"sijabakiwa na kitu" au "mmechukua kila kitu ambacho ni muhimu kwangu"
|
|
|
|
# Unawezaje kuniuliza, 'Ni nini kinachokusumbua?
|
|
|
|
Mika anauliza hili swali akiwa na maana kuwa Wadani wanafahamu kitu kinachomsumbua.
|
|
|
|
# Usiruhusu tusikie chochote unachosema
|
|
|
|
"Usirihusu tukagundua chochote ulichozungumza" au "usiseme chochote juu ya hili"
|
|
|
|
# Kusikia ukisema chochote
|
|
|
|
"kukusikia ukisema chochote juu ya swala hili"
|
|
|
|
# familia yako mtauawa
|
|
|
|
"na kuiuwa familia yako"
|
|
|
|
# wakaenda zao
|
|
|
|
Hii ina maana ya kuwa wakaendelea na safari yao.
|
|
|
|
# walikuwa na nguvu sana juu yake
|
|
|
|
Wadani walikuwa na nguvu sana juu ya Mika na watu wake.
|
|
|