forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
410 B
Markdown
17 lines
410 B
Markdown
# Badala yake mngesema
|
|
|
|
Badala yake, mtazamo wenu uwe?"
|
|
|
|
# sisi tutaishi
|
|
|
|
Neno "sisi" halimaanishi Yakobo au hadhira yake lakini ni mfano wa namna ambavyo hadhira ya Yakobo inatakiwa iishi.
|
|
|
|
# tutafanya hiki au kile.
|
|
|
|
"kufanya kile ambacho tumepanga kufanya"
|
|
|
|
# kwake yeye ajuaye kutenda mema lakini hayatendi, kwake huyo ni dhambi.
|
|
|
|
Yeyote anayeshindwa kufanya jambo ambalo anapaswa kufanya anatenda dhambi.
|
|
|