forked from WA-Catalog/sw_tn
634 B
634 B
Maelezo ya Jumla
Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Yerusalemu.
Fanya hema lako kubwa ... imarisha vigingi vyako
Hii inaendeleza sitiari ambayo ilianza katika 54:1. Yahwe kuwaambia watu wa Yerusalemu kuandaa kwa sababu Yahwe ataongeza watu wake inazungumziwa kana kwamba anamwambia mwanamke kufanya hema lake kubwa kutengeneza chumba kwa ajili ya watoto wengi.
Kwa maana utasambaa
Hapa "utatawanyika" ni umoja na ina maana ya mwanamke tasa. Anawakilisha vizazi vyake vyote. "Kwa maana wewe na vizazi vyako mtasambaa kote"
vitatawala mataifa
Hapa "mataifa" yanawakilisha watu. "watawashinda watu w mataifa mengine"