forked from WA-Catalog/sw_tn
344 B
344 B
Mkombozi
Mkombozi wa Israeli
kwa yule ambaye maisha yake yanadharauliwa, anayechukiwa na mataifa, na mtumwa wa watawala
Hapa neno "maisha" linawakilisha mtu. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "kwa yule ambaye watu walidharau, ambaye mataifa walichukia na kuwashika kama watumwa"
Mtakatifu wa Israeli
Mtakatifu wa Israeli