Taarifa ya Jumla
Yahwe anaendelea kuzungumza
Watageuzwa; watafedheheshwa kabisa
Kuwakataa wale ambao huabudu sanamu inazungumziwa kana kwamba ni kuwalazimisha kugeuka na kuelekea upande mwingine. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Nitawakataa na kuwatia aibu"