forked from WA-Catalog/sw_tn
471 B
471 B
Taarifa ya Jumla
Yahwe anaendelea kuzungumza.
Waache watoe utukufu
Hapa "waache" ina maana ya watu katika nchi za pwani.
Yahwe atatoka nje kama hodari; kama mwanamume wa vita
Yahwe analinganishwa na hodari ambaye yupo tayari kuwashinda watu wa adui zake.
atamwamsha ari yake
Hapa "ari" ina maana ya uchu ambao hodari hupitia anapokaribia kupigana vita. Yahwe kuchangamsha ari yake inazungumziwa kana kwamba aliamsha kama upepo unapoamsha mawimbi ya maji.