forked from WA-Catalog/sw_tn
839 B
839 B
Ni kwa nani utanilinganisha mimi, ni nani nayefanana naye?
Yahwe anatumia maswali mawili ya kufanana ya balagha kusisitiza ya kuwa hakuna mtu kama yeye. "Hakuna mtu ambaye unaweza kulinganisha na mimi. Hakuna mtu ambaye ninamfanana".
Nani ameumba nyota hizi zote?
Hili ni swali la kufokeza ambalo linaashiria jibu, Yahwe. "Yahwe ameziumba nyota hizi zote!"
Yeye huongoza mpangilio wao
Hapa neno "mpangilio" una maana ya mpangilio wa kijeshi. Nabii anazungumzia nyota kana kwamba zilikuwa wanajeshi ambao Yahwe huamuru kujitokeza.
Kwa ukuu wa uwezo wake na kwa wingi wa nguvu zake
Misemo "ukuu wa uwezo wake" na "wingi wa nguvu zake" huunda mambo mawili ambayo husisitiza uweza wa Yahwe. "Kwa uwezo wake mkubwa na wingi wa nguvu"
hakuna mmoja asiyeonekana
Kauli hii ya kukana inasisitiza jambo chanya. "kila mmoja yupo"