sw_tn/isa/30/31.md

985 B

Kwa maana kwa sauti ya Yahwe, Ashuru itapondwapondwa

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Kwa maana Yahwe anapozungumza atapondaponda wanajeshi wa Ashuru"

Ashuru itapondwapondwa

Isaya anazungumzia hofu ya Ashuru kana kwamba Ashuru ni chombo ambacho sauti ya Yahwe hupondaponda. "Ashuru itaogopa"

Ashuru

Hapa hii inawakilisha wanajeshi wa Ashuru.

Kila pigo la kiboko kilichoteuliwa ambacho Yahwe atakilaza juu yao

Yahwe kusababisha jeshi kuwashinda Ashuru inazungumziwa kana kwamba Yahwe angewapiga Ashuru kwa fimbo.

itaungana

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "watu wa Yuda wataungana nayo"

kigoma

Hiki ni chombo cha muziki chenye kichwa kama ngoma ambacho kinaweza kupigwa na kina vipande vya chuma kuzunguka pande ambazo hutoa sauti pale chombo kinapotikiswa.

anapambana na kupigana pamoja nao

Yahwe kusababisha jeshi la adui kuwashinda Ashuru inazungumziwa kana kwamba Yahwe walikuwa shujaa ambaye angepigana pamoja na jeshi la adui.