forked from WA-Catalog/sw_tn
471 B
471 B
Bwana, nasimama juu ya mnara
Hapa "Bwana" ina maana ya mtu mwenye mamlaka ambaye alimuamuru mlinzi kusimama juu ya ukuta wa Yerusalemu.
Babeli imeanguka, imeanguka
Babeli kushindwa kabisa na adui zake inazungumziwa kana kwamba Babeli imeanguka. Hapa "Babeli" ni mfano wa maneno unawakilisha watu wa Babeli. "Watu wa Babeli wameshindwa kabisa"
imeanguka, imeanguka
Neno "imeanguka" inarudiwa kusisitiza ya kwamba watu wa Babeli walishindwa kabisa na adui zao.