forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
874 B
Markdown
37 lines
874 B
Markdown
# Kauli Kiunganishi
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kuzungumza kuhusu kile kitakachotokea kwa Babeli.
|
|
|
|
# watalala pale
|
|
|
|
"watalala Babeli"
|
|
|
|
# Nyumba zao
|
|
|
|
"'nyumba za watu"
|
|
|
|
# bundi
|
|
|
|
Bundi ni ndege pori ambao huwinda usiku.
|
|
|
|
# mbuni
|
|
|
|
Mbuni ni ndege pori wakubwa ambao hukimbia haraka na hawawezi kupaa.
|
|
|
|
# Fisi
|
|
|
|
Fisi ni wanyama pori wakubwa ambao hufanana na mbwa na hula wanyama waliokufa. Sauti zao zaa juu husikika kama mtu achekavyo.
|
|
|
|
# na mbweha katika kasri nzuri
|
|
|
|
Maneno "watalia" inaeleweka. "Na mbweha watalia ndani ya kasri nzuri"
|
|
|
|
# mbweha
|
|
|
|
mbwa mwitu
|
|
|
|
# Muda wake umekaribia, na siku zake hazitacheleweshwa
|
|
|
|
Misemo hii miwili ina maana moja. "Muda wake" na "siku zake" yote ina maana ya kipindi ambacho Mungu alichagua Babel kuangamizwa. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Kipindi ambacho yote haya yatatokea kwa watu wa Babeli kimekaribia, na hakuna kitu kitazuia"
|
|
|