sw_tn/hos/13/15.md

567 B

Taarifa ya jumla"

Nabii Hosea anazungumza.

Ndugu zake

Neno hili linasimama kuelezea mataifa yanayozunguka ufalme wa kaskazini, hasa Yuda ufalme wa kusini.

upepo wa mashariki utakuja; upepo wa Bwana

Upepo wa mashariki ulikuwa na joto sana na wenye kuharibu. Hii inamaanisha kuwa majeshi kutoka mashariki ambayo Bwana atayatuma kuwaharibu wana wa Israeli.

Kijito cha maji cha Efraimu kitauka, na kisima chake hakitakuwa na maji

Hosea anaendelea kuelezea ni kwa namna gani Mungu atawaadhibu wana wa Israeli.

ghala lake

Hivi ni vitu anavyomiliki mtu.