forked from WA-Catalog/sw_tn
392 B
392 B
Taarifa ya jumla:
Bwana anawazungumzia watu wake kama kundi la kondoo linalotangatanga jangwani.
Nilikujua jangwani
Bwana anasema kuwa Waebrania ni watu wake wa pekee na anawajali.
Wakati ulipokuwa na malisho, ulishiba
Sura ya kondoo inaendelea kuelezewa.
moyo wako ukainuliwa
"moyo" unawakilisha utu wa ndani wa mtu.
ukainuliwa
Kuwa na kiburi inazungumzwa kama kujiinua.