sw_tn/hos/11/01.md

417 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza namna anavyowajali Waisraeli kama mzazi anavyomjali mtoto.

Israeli alikuwa kijana

Bwana anazungumza juu ya wana wa Israeli kama watoto.

nikamwita mtoto wangu kutoka Misri

"mtoto" inamaanisha watu wa Mungu Baba. "Niliwaongoza watoto wangu kutoka Misri"

Kwa kadiri waliyoitwa, ndivyo walivyoondoka kwangu

"kwa kadiri nilivyowaita kuwa watu wangu ndivyo walivyokataa"