forked from WA-Catalog/sw_tn
732 B
732 B
Taarifa ya jumla:
Bwana anazungumza.
ili wakatiliwe mbali
Hii inaweza kuandikwa "lakini matokeo yake yatakuwa kwamba nitawaharibu watu hao"
Kukatwa
Kuharibiwa
Ndama yako imekataliwa, Samaria
Inaweza kuwa na maana 1) Kuhani anazungumza au 2) Bwana anazungumza. "Mimi mwenyewe nitakataa ndama yako, Samaria."
Ndama wako
Mfalme Yeroboamu wa pili wa Israeli alitengeneza miungu miwili ya dhahabu inayofanana na ndama na kuiweka juu ili watu wa ufalme wake waziabudu.
Hasira yangu inawaka juu ya watu hawa
Hasira inazungumzwa kama moto.
Kwa muda gani watakuwa na hatia?
Bwana anauliza swali ili kuonesha hasira yake kuhusu watu wake walio chafuka. "Nina hasira na watu hawa kwa sababu hawatamani kuwa salama"