sw_tn/hos/07/12.md

430 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza.

nitasambaza wavu wangu juu yao

Hii ni njia ya kukamata ndege. Bwana anaendelea kuwafananisha Waisraeli na ndege. wakienda Misri kwa ajili ya msaada Bwana atawaadhibu.

nitawaangusha kama ndege wa angani

Bwana anazungumza namna atakavyowaangamiza Israeli kama vile atakavyomkamata ndege kwenye wavu.

katika kusonga kwao pamoja

Maelezo haya yanaendelea kusisitiza mfano wa ndege.