forked from WA-Catalog/sw_tn
430 B
430 B
Taarifa ya jumla:
Bwana anazungumza.
nitasambaza wavu wangu juu yao
Hii ni njia ya kukamata ndege. Bwana anaendelea kuwafananisha Waisraeli na ndege. wakienda Misri kwa ajili ya msaada Bwana atawaadhibu.
nitawaangusha kama ndege wa angani
Bwana anazungumza namna atakavyowaangamiza Israeli kama vile atakavyomkamata ndege kwenye wavu.
katika kusonga kwao pamoja
Maelezo haya yanaendelea kusisitiza mfano wa ndege.