forked from WA-Catalog/sw_tn
572 B
572 B
Taarifa ya jumla:
Maafisa wa mahakama wanaelezewa. Hasira zao ziliwachochea kumuua mfalme.
kwa mioyo kama tanuru
Hii inamaanisha kuwa watu hawa walikuwa na nia ovu ndani mwao kama moto uwakao kwenye tanuru.
Hasira zao hulala
"hulala" Hii inamaanisha kuwa kitu kinachoungua taratibu.
huwaka juu kama moto
Hii inaonesha kuwa kiwango cha hasira yao ni kama moto mkali.
Wote wamepata moto kama tanuru
Hii inafananisha hasira yao na moto utakao kwenye tanuru.
huwaangamiza wale wanaowatawala
Hii inaonesha kuwa maofisa wa mahakama waliwaua wafalme wao.