sw_tn/hos/07/06.md

572 B

Taarifa ya jumla:

Maafisa wa mahakama wanaelezewa. Hasira zao ziliwachochea kumuua mfalme.

kwa mioyo kama tanuru

Hii inamaanisha kuwa watu hawa walikuwa na nia ovu ndani mwao kama moto uwakao kwenye tanuru.

Hasira zao hulala

"hulala" Hii inamaanisha kuwa kitu kinachoungua taratibu.

huwaka juu kama moto

Hii inaonesha kuwa kiwango cha hasira yao ni kama moto mkali.

Wote wamepata moto kama tanuru

Hii inafananisha hasira yao na moto utakao kwenye tanuru.

huwaangamiza wale wanaowatawala

Hii inaonesha kuwa maofisa wa mahakama waliwaua wafalme wao.