sw_tn/hos/07/03.md

579 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza.

Wote ni wazinzi

Watu wamefanya uzinzi wa kiroho kwa kuabudu miungu na kutokuwa waaminifu kwa Bwana. Pia hawakuwa waaminifu kwa wake zao na waume zao kwa kulala na watu wengine.

kama tanuru iliyochomwa na mwokaji

"kama tanuru ambalo mwokaji analichoma"

Kukanda unga

Hii ni moja ya hatua katika utengenezaji wa mkate.

Siku ya mfalme wetu

Yamkini hii ni sikukuu inayofanywa na mfalme.

Alinyoosha mkono wake

Hii inamaana kuwa mfalme ataungana na maofisa ili kuwadhihaki watu wasiopaswa kudhihakiwa na hata Mungu mwenyewe.