sw_tn/hos/04/06.md

655 B

Taarifa ya jumla:

Katika 4:6 Bwana anazungumza na kuhani kuhusu watu wa Israeli. Lakini katika 4:7 anazungumza kuhusu kuhani na sio kwao.

Watu wangu wanaharibiwa kwa sababu ya ukosefu wa maarifa

"Watu wangu wanaharibiwa kwa sababu yenu, makuhani hamjawafundisha vema kuhusu mimi ili wanitii mimi"

Maarifa

Hapa "maarifa" inamaanisha maarifa juu ya Mungu.

Walibadilisha heshima zao kwa aibu

Yawza kuwa na maana ya 1) "heshima" inawakilisha Bwana, na "aibu" inawkilisha miungu. 2) Baadhi ya maandiko yametafsiri "Nitabadili heshima yao kwa aibu." Hii inamaana kuwa Bwana atachukua vitu ambavyo makuhani wanaviheshimu na kusababisha waaibike.