forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
466 B
Markdown
21 lines
466 B
Markdown
# Sentensi unganishi:
|
|
|
|
Bwana anazungumza na Hosea kuhusu namna atakavyowafanyia Israeli.
|
|
|
|
# Siku hiyo
|
|
|
|
Hii inazungumzia kuhusu urejesho wa baadae kati ya Israeli na Bwana.
|
|
|
|
# Nitafanya agano kwao
|
|
|
|
Agano la Bwana litajumuisha amani kwa wanyama.
|
|
|
|
# Nitaondoa upinde, upanga, na vita katika nchi, nami nitakufanya ulale kwa usalama.
|
|
|
|
Bwana atawaweka adui wa Israeli mbali na wao, hakutakuwa na vita tena watu watakuwa salama.
|
|
|
|
# ulale kwa usalama
|
|
|
|
Kuishi kwa usalama.
|
|
|