forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
334 B
Markdown
17 lines
334 B
Markdown
# Neno la Bwana lililofika
|
|
|
|
"Neno ambalo Bwana Mungu aslilisema"
|
|
|
|
# Beeri.
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanaume.
|
|
|
|
# Uzia ... Yothamu ... Ahazi ... Hezekia ... Yeroboamu ... Yoashi
|
|
|
|
Matukio yaliyopo katika kitabu hiki yalitokea katika kipindi cha wafalme hawa.
|
|
|
|
# Ukahaba mkubwa
|
|
|
|
"ukahaba" inawakilisha watu wanavyokuwa sio waaminifu kwa Mungu.
|
|
|