forked from WA-Catalog/sw_tn
550 B
550 B
kana kwamba mlikuwa mmefungwa pamoja
"kana kwamba mlikuwa gerezani pamoja nao"
Ndoa na iheshimiwe na watu wote na kila mmoja
"wanaume na wanawake walio na kuolewa waliolewa ni lazima waheshimiane.
kama miili yao ilitendewa kama wao
Hii inawatia moyo waumini kufikiri kuhusu mateso ya watu wengine kama ambaavyo wangeweza kufikiri juu ya mateso yao.
kitanda cha ndoa kiwe safi
Hii inamaanisha tendo la ndoa kana kwamba n kitanda cha watu walioana. AT: "wanaume na wanawakewaheshimu mahusiano ya ndoa yao na sio kwenda na watu wengine"