forked from WA-Catalog/sw_tn
477 B
477 B
Maelezo ya Jumla:
Maneno ya Kristo alipokuwa duniani yalikuwa yamesemwa katika nukuu hii kutoka Zaburi ya Daudi.
ambayo ulitamani
"Wewe" hapa ni nafsi ya umoja na inamaanisha Mungu.
mliandaa
"kufanya tayari"
kisha nilisema
"Nilisema" inamaanisha Kristo
kama ilivyoandikwa katika gombo kuhusu mimi
Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: " kama manabii walivyoandika katika gombo kuhusu mimi"
gombo
Hii inamaanisha maandiko au maandiko matakatifu.