forked from WA-Catalog/sw_tn
355 B
355 B
maelezo ya Jumla:
Nukuu hii inatoka katika Zaburiya Daudi kama mstari wa 17
hii haikutokea pasipo kula kiapo
Tendo la kula kiapo linaongelewa bila kusema ni nani aliyekula hicho kiapo. Japo kuwa alikuwa Mungu.
kwa kiapo kilichotolewa kwa ambaye alimwambia
hii inawea kusemwa katika mfumo tendaji. AT:"kwa sababu Mungu aliapa kwake kwa kusema"