forked from WA-Catalog/sw_tn
551 B
551 B
tunatamani sana
Ingawa mwandishi anatumia wingi lakini anamaanisha yeye mwenyewe.
bidii
uangalifu, kazi ngumu
mpaka mwisho
AT: "mpaka mwisho wa maisha yako"
kwa ajili ya uhakika wa ujasiri
"ili kuwa na uhakika timilifu kuwa mtapokea kile ambacho Mungu amewaahidi ninyi"
waigaji
"muigaji" ni mtu ambaye ana nakili tabia ya mtu mwingine.
kuzirithi ahadi
kupokea kile ambacho Mungu alichowaahidi waumini kinaongelewa kana kwamba ilikuwa wanarithi kitu na utajiri kutoka kwa mwanafamilia. AT: " pokea kileambacho Mungu amewaahidi"