forked from WA-Catalog/sw_tn
648 B
648 B
Maelezo ya Jumla:
Yakobo anaendelea kuzungumza na wanawe.
lililomo lilinunuliwa
Ununuzi unaweza kuwekwa wazi. "ndani mwake ulinunuliwa na Abrahamu"
kutoka kwa watu wa Hethi
"kutoka kwa Wahiti"
alipomaliza maagizo hayo kwa wanawe
"alimaliza kuwaagiza wanawe" au "alimaliza kuwaamuru wanawe"
akaiweka miguu yake kitandani
Yakobo alikuwa amekaa juu ya kitanda. Sasa, Yakobo anageuka na kuweka miguu yake kitandani ili aweze kulala chini.
akavuta pumzi ya mwisho
Hii ni njia ya upole ya kusema mtu amekufa.
akawaendea watu wake
Baada ya Yakobo kufa, nafsi yake ilikwenda sehemu ile ile kama ndugu zake waliokufa kabla yake.