forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
806 B
Markdown
25 lines
806 B
Markdown
# kuonesha njia mbele yake kwenda Gosheni
|
|
|
|
"kuwaonyesha njia ya kuelekea Gosheni"
|
|
|
|
# Yusufu akaandaa kibandawazi chake na akaenda
|
|
|
|
Hapa "Yusufu" ina maana ya watumishi wake. "Watumishi wa Yusufu waliaanda kibandawazi chake na Yusufu akenda juu"
|
|
|
|
# akaenda kukutana na baba yake Israeli
|
|
|
|
Msemo wa "kwenda juu" unatumika kwa sababu Yusufu anasafiri kwenye kwenye mwinuko kukutana na baba yake" "akaenda kukutana na baba yake"
|
|
|
|
# akaikumbatia shingo yake, na akalia shingoni mwake kwa muda mrefu
|
|
|
|
"akaweka mikono yake kumzunguka baba yake, na kulia kwa muda mrefu"
|
|
|
|
# Basi na nife sasa
|
|
|
|
"Sasa nipo tayari kufa" au "Sasa nitakufa na furaha"
|
|
|
|
# kwa kuwa nimeuona uso wako, kwamba bado uko hai
|
|
|
|
Hapa "uso" ina maana ya mtu mzima. Yakobo anaonyesha furaha ya kumuona Yusufu. "kwa maana nimekuona ukiwa hai tena"
|
|
|