forked from WA-Catalog/sw_tn
472 B
472 B
Asenathi
"Asenathi" ni jina la mwanamke ambaye Farao alimpa Yusufu kuwa mke wake.
Potifera
"Potifera" ni baba yake Asenathi.
kuhani wa Oni
Oni ni mji, ambao pia unajulikana kama Heliopolisi, ambao ulikuwa "Mji wa Jua" na makao ya kumuabudu mungu wa jua Ra.
Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu, na Ardi
Haya ni majina ya wanamume.
jumla yao kumi na wanne
Hii ina maana ya wana 14 na wajukuu waliokuwa wamehusiana na Raheli.