sw_tn/gen/37/21.md

785 B

alilisikia

"alisikia walichokuwa wakisema"

kutoka katika mikono yao

Msemo "mikono yao" una maana ya mipango ya kaka zake ya kumuua. "kutoka kwao" au "kutoka kwa mipango yao"

Tusiuondoe uhai wake

Msemo wa "kuondoa uhai wake" ni tasifida kwa kumuua mtu. "Tusimuue Yusufu"

Msimwage damu

Ukanushaji unaweza kuwekwa juu ya kitenzi. Pia "kumwaga damu" ni tasifida ya kuua mtu. "Usimwage damu yoyote" au "Usimuue"

msiweke mikono yenu juu yake

Hii ina maana ya kumdhuru au kumjeruhi. "msimdhuru"

ili kwamba aweze kumwokoa

Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "Rubeni alisema hivi ili aweze kumuokoa Yusufu"

mikono mwao

Msemo wa "mikononi mwao" una maana ya mpango wa kaka zake kumuua. "kutoka kwao" au "kutoka kwa mipango yao"

kumrudisha

"na kumrudisha"