forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
565 B
Markdown
25 lines
565 B
Markdown
# Hivi ndivyo vizazi vya Esau
|
|
|
|
Sentensi hii inatambulisha habari ya vizazi vya Esau katika Mwanzo 36:9-43. "Hii ni habari ya vizazi vya Esau"
|
|
|
|
# katika nchi ya mlima Seiri
|
|
|
|
Hii ina maana ya kwamba waliishi katika nchi ya mlima wa Seiri. Maana kamili ya hii inaweza kuwekwa wazi. "aliyeishi katika mlima wa nchi ya Seiri"
|
|
|
|
# Elifazi ... Reueli
|
|
|
|
Haya ni majina ya wana wa Esau.
|
|
|
|
# Ada ... Basemathi
|
|
|
|
Haya ni majina ya wake wa Esau.
|
|
|
|
# Temani, Omari, Zefo, Gatamu, na Kenazi ... Amaleki
|
|
|
|
Haya ni majina ya wana wa Elifazi.
|
|
|
|
# Timna
|
|
|
|
Hili ni jina la suria wa Elifazi.
|
|
|