sw_tn/gen/27/26.md

657 B

akanusa harufu ya nguo zake na kumbariki

Inaweza kuwekwa wazi ya kwamba nguo zilinuka kama nguo za Esau. "alinusa nguo zake na zilinuka kama nguo za Esau, kwa hiyo Isaka akambariki"

naye akanusa

"na Isaka akanusa"

harufu

"marashi"

na kumbariki

"na kisha akambariki". Hii ina maana ya baraka maalumu ambayo baba hutamka kwa watoto wake.

Tazama, harufu ya mwanangu

Neno "tazama" linatumika kama msemo wa mkazo kumaanisha "ni kweli". Hakika, harufu ya mwanangu"

alilolibariki Yahwe

Hapa neno "alilolibariki" lina maana ya Yahwe alisababisha mambo mazuri kutokea kwenye shamba na ikawa na matunda. "ambayo Yahwe amesababisha kuzaa sana"