forked from WA-Catalog/sw_tn
644 B
644 B
Ikawa kwamba baada ya mambo haya
"Baada ya matukio haya". Msemo "mambo haya" una maana ya matukio ya Mwanzo 22:1-19
Abraham aliambiwa
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "mtu alimwambia Abrahamu"
Milka amemzalia pia watoto
"Milka pia alizaa watoto"
Milka
Hili ni jina la mwanamke
walikuwa ni Usi mzaliwa wa kwanza, Busi ndugu yake
"Jina la mwanawe wa kwanza lilikuwa Usi, na majina ya watoto waliosalia walikuwa Busi ndugu yake"
Usi ... Busi ... Kemueli ... Aramu ...Kesedi, Hazo, Pildasi, Yildashi, na bethueli
Haya yote ni majina ya wanamume. Hawa wote kasoro Aramu walikuwa watoto watoto wa nahori na Milka.