Abramu akalala usingizi
Hii ni lahaja. "Abrahamu alilala usingizi mzito"
giza zito na la kutisha
"giza kubwa sana lililomtisha"
ikamfunika
"ikamzunguka"
wageni
"wageni"
watatumikishwa na kuteswa
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na wamiliki wa nchi ile watawatumikisha na kuwatesa"